Welcome

Sunday, June 2, 2013

PICHA: ndani ya BAGAMOYO dip one wote wakisheherekea ushindi wa USTAWI football & netball league interclasses....!!!

 tunawasikiliza viongozi ongeeni tunaelekea wap

 wenye michina hatukua nyuma kupiga picha pia


 I LOV THIIIIIIIIIIISSS
 mjengoo hatari ndan ya Bwaga moyo








Saturday, June 1, 2013

Wakipokea Chao


washindi ustawi Interclasses

Timu ya mpira wa miguu kutoka diploma 1 wamechukua ubingwa upande wa mpira wa miguu katika mashindano ya madarasa Institute of Social Work ambapo walicheza finali na diploma 2 human resource. Katika mchezo huo uliomalizika kipindi cha pili kwa timu hizo kufungana goli 2-2 na kuingia katika matuta ambapo dioloma 1 walitangawa mabingwa. nayo timu ya wasichana ya diploma 2 human resource imeshinda mchezo wao fainali dhidi ya diploma 1na kuibuka washindi upande wa netboli.
mpira ukiendelea
mtanange ukiendelea
Waziri akienda kumalizia penalti ya mwisho

washindi wakiwa wameshikilia chaoo..tarehe 31 usiku baada ya ushindi
kipa Michael mkamba(kulia)  na captain Hero Lusanga (kushoto) wa timu ya diploma one
source  social work blogsite

Friday, May 31, 2013

weraaa weeeeeraa hizi ndizo Picha za mashabiki wakiisuport timu yao

wakiwa makini kuangalia mpira ulokua unaendelea huku zikiendelea shamra shamra kwa mavuvuzera
CR wa dip one akimpa ushauri kocha wa dip one kuhusu mchezo katika mechi hiyo
coach bwana Anuary Mgalu na mchezaji wake Msaada peter wakishangilia baada ya mechi

weeeeeeeeeeeeeeeeeeerrrrrrrrrrrrrraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

mpaka kielewekeeee mpaka majogoooo