Timu ya mpira wa miguu kutoka diploma 1 wamechukua ubingwa upande wa mpira wa miguu katika mashindano ya madarasa Institute of Social Work ambapo walicheza finali na diploma 2 human resource. Katika mchezo huo uliomalizika kipindi cha pili kwa timu hizo kufungana goli 2-2 na kuingia katika matuta ambapo dioloma 1 walitangawa mabingwa. nayo timu ya wasichana ya diploma 2 human resource imeshinda mchezo wao fainali dhidi ya diploma 1na kuibuka washindi upande wa netboli.
mpira ukiendelea
mtanange ukiendelea
Waziri akienda kumalizia penalti ya mwisho
washindi wakiwa wameshikilia chaoo..tarehe 31 usiku baada ya ushindi
kipa Michael mkamba(kulia) na captain Hero Lusanga (kushoto) wa timu ya diploma one
source social work blogsite
No comments:
Post a Comment