Welcome

Friday, May 31, 2013

weraaa weeeeeraa hizi ndizo Picha za mashabiki wakiisuport timu yao

wakiwa makini kuangalia mpira ulokua unaendelea huku zikiendelea shamra shamra kwa mavuvuzera
CR wa dip one akimpa ushauri kocha wa dip one kuhusu mchezo katika mechi hiyo
coach bwana Anuary Mgalu na mchezaji wake Msaada peter wakishangilia baada ya mechi

weeeeeeeeeeeeeeeeeeerrrrrrrrrrrrrraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

mpaka kielewekeeee mpaka majogoooo

No comments:

Post a Comment