Welcome

Friday, May 31, 2013

Hatimaye DIPLOMA one wachukua ushindi katika fainali ya ligi ya interclasses 2012/2013

kikosi cha diploma one wakijiandaa kuanza mechi hyo..kushoto->kulia ni Adam,sheami,peter,hussen,hafidhi na Hero
ni mshambuliaji Hero akisalimiana na wachezaji wa timu pinzani tayari kuanza mechi Dip VS bach 2..walfungana kwa penalt 5-4.
ni kipa machachali bwana michael mkamba akijiandaa vizuri kuenda kuanza kupangua mikwaju ya penalt

No comments:

Post a Comment