kikosi cha diploma one wakijiandaa kuanza mechi hyo..kushoto->kulia ni Adam,sheami,peter,hussen,hafidhi na Hero
ni mshambuliaji Hero akisalimiana na wachezaji wa timu pinzani tayari kuanza mechi Dip VS bach 2..walfungana kwa penalt 5-4.
ni kipa machachali bwana michael mkamba akijiandaa vizuri kuenda kuanza kupangua mikwaju ya penalt
No comments:
Post a Comment