Diploma one hatimaye waingia fainali mashindano ya interclasses 2012/2013
Baadhi ya wachezaji wa diploma one wakiwa wanapanga mambo mawili matatu kuhusu mchezo waendao kucheza
Upande wa kulia ni kocha wa timu bwana Anuary mgallu na msaidizi wake upande wa kushoto bw. Kelvin Buretta.
No comments:
Post a Comment